Bwana Yesu Kristo asifiwe sana. Ninakukaribisha tena ndugu yangu katika kona hii ya salamu za mwezi. Mimi na familia yangu ni wazima tunamshukuru Mungu sana aliyetupigania na kututunza. Nimekuletea mfululizo wa salamu zenye kichwa. VIPAO MBELE VYA MAOMBI YAKO WEKA BIDII YA KUOMBEA MASIKIO YAKO. Hebu tusogee mbele kidogo tujifunze eneo hili la maana ya […]
Author Archives: Husonemu Admin
Bwana Yesu Kristo asifiwe sana.Ninamshukuru Mungu sana kwa kutupa nafasi ya kuuona mwezi huu. Naamini hata wewe Mungu amekupa nafasi ya kuuona mwezi huu wa sita katika mwaka 2021. Nimekuletea salamu za mwezi huu wa sita kumbuka tunasomo lenye kichwa VIPAO MBELE VYA MAOMBI YAKO WEKA BIDII YA KUOMBEA MASIKIO YAKO. Hebu tuendelee mbele kidogo […]
3: MADHARA YA TATU. KUPOKEA KITU BILA KUSIKIA UTAPOKEA SADAKA YA HILA Unaposoma Biblia unaona umuhimu wa kusikia jinsi ulivyo mkubwa. Moja ya eneo muhimu mno katika kusikia kwetu ni hili la kupokea vitu kutoka kwa watu. Unajua sisi wanadamu tunapenda mnoo kupokea vitu kutoka kwa watu.. sikiliza si kila kitu tunatakiwa tukipokee. Kuna vitu […]
Bwana Yesu Kristo asifiwesana. Naamini Mungu ameendelea kukutunza na kukupigania. Nikukaribishe tena ndugu yetu katika kona hii ya salamu za mwezi. Hizi ni salamu za mwezi wa nne, kumbuka tuna salamu zenye kichwa VIPAO MBELE VYA MAOMBI YAKO WEKA BIDII YA KUOMBEA MASIKIO YAKO. Hebu tusogee mbele katika kujifunza somo hili MADHARA YA KUTOKUSIKIA MATESO […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe sana. Ninakukaribisha tena katika kona hii ya salamu za kila mwezi. Kumbuka tunasalamu zenye kichwa VIPAO MBELE VYA MAOMBI YAKO WEKA BIDII YA KUOMBEA MASIKIO YAKO. Hebu tusogee mbele tena…. KUWA NA MASIKIO SI TIKETI KUWA WEWE UNASIKIA Biblia inatufundishakuwa mwanadamu tena mtumishi wa Mungu akawa na masikio lakini asisikie “Sikilizeni, […]
Tunakusalimu ndugu yetu kwa jina la Bwana Yesu Kristo. Karibu tena katika kona hii ya salamu za mwezi. Namshukuru Mungu aliyetupatia mwezi huu wa pili. Naamini Mungu amekuvusha salama kuingia mwezi huu wa pili na pia ni imani yetu kuwa utabarikiwa mnoo na salamu za mwezi huu. Kumbuka tuna salamu zenye kichwa “VIPAO MBELE VYA […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe sana. Mimi na familia yangu tunawasalimu katika jina la Bwana Yesu Kristo. VIPAO MBELE VYA MAOMBI YAKO WEKA BIDII YA KUOMBEA MASIKIO YAKO. UTANGULIZI Ni imani yetu kuwa Mungu amekupatia mwaka huu mpya kwa lengo maalumu kabisa. Hebu tulia kwake na mwombe akuongoze katika mwaka huu. Tumekuletea salamu za mwezi. Ni […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe. Ninakukaribisha tena katika eneo hili la salamu za mwezi. ili tupate kujifunza somo hili muhimu. Hizi ni salamu za mwezi wa kumi na moja Kumbuka tunamfululizo wa salamu zenye kichwa. MAMBO MUHIMU UNAYOTAKIWA UYAFANYE ILI UPATE WOKOVU (ENEO LA KUOKOLEWA KATIKA KIPINDI CHA MAJANGA ULIMWENGUNI) JIFUNZE KUTUMIA CHAKULA CHA MAALUMU KATIKA […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe. Ninakukaribisha tena katika eneo hili la salamu za mwezi. ili tupate kujifunza somo hili muhimu. Hizi ni salamu za mwezi wa kumi na moja Kumbuka tunamfululizo wa salamu zenye kichwa. MAMBO MUHIMU UNAYOTAKIWA UYAFANYE ILI UPATE WOKOVU (ENEO LA KUOKOLEWA KATIKA KIPINDI CHA MAJANGA ULIMWENGUNI) JAMBO LA YA KUMI NA MOJA […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe. Ninakukaribisha tena katika eneo hili la salamu za mwezi. ili tupate kujifunza somo hili muhimu. Mungu ametupa mwezi huu wa kumi tunamshukuru sana. Hizi ni salamu za mwezi wa kumi Kumbuka tunamfululizo wa salamu zenye kichwa. MAMBO MUHIMU UNAYOTAKIWA UYAFANYE ILI UPATE WOKOVU (ENEO LA KUOKOLEWA KATIKA KIPINDI CHA MAJANGA ULIMWENGUNI) […]