
Karibu Huduma ya Soma Neno la Mungu. Katika tovuti hii Watumishi wa Mungu Mwl. Bwana na Bibi Steven Mwakatwila tunafanya bidii kusoma na kukuonya na kukufundisha juu ya Mungu Yesu Kristo ili upate kuponywa na kuurithi ufalme wa Mbinguni. Ungana nasi katika masomo, vipindi vya redio, makala, katika CD, DVD, VHS na matamasha mbalimbali yanayofanyika kote Tanzania. Fuatilia ratiba ya matamasha na semina ili kujua lini unaweza kuhudhuria upate Neno la Mungu.