Bwana Yesu Kristo asifiwe sana. Ni siku njema tena nimekuletea salamu za mwezi huu wa nane. Naamini umekuwa na mwezi wa saba mzuri sana, naamini mwezi huu wa nane Mungu atakupa mwezi mzuri pia. Mwezi wa saba kwetu ulikuwa mzuri sana. Tulikuwa na semina nzuri sana huko wilaya ya Mbarali eneo la Chimala. Tulikuwa na […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe sana. Ni furaha yetu moyoni kukualika tena kwenye kona hii ya salamu za mwezi. Mimi na familia yangu tu wazima. Naamini hata wewe Mungu amekupa uzima. Naamini pia Mungu amekupa ulinzi na afya na uhai. Kwetu mwezi wa sita tumekuwa na semina huko Tunduma, tumekuwa na semina Vwawa huko mkoa wa […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe sana. Nichukue nafasi hii kukukaribisha katika eneo hili la salamu za Mwezi: na salamu hizi ni za mwezi wa sita mwaka 2022 Naamini umepata neema ya kuuingia mwezi huu wa sita, mwezi ulio katikati ya mwaka. Kwetu mwezi uliopita ulikua mzuri sana, kwani tulikuwa na semina nyingi mnoo. Tulianzia Dodoma huko […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe sana. Naamini unandelea vema; ninamshukuru sana Mwenyezi Mungu mwezi uliopita tumekua na semina nyingi mnoo. Na mwezi huu wa tano tumeendelea kuwa na semina nyingi. Tumekua na semina Dodoma, Kibaigwa na tukaelekea Katavi huko Mpanda na hivi ninavyokuletea salamu hizi tupo Sumbawanga mjini. Tunazifanya semina hizo ndani ya hema letu linalotembea. […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe sana. Naamini unandelea vema. Na ni imani yetu kuwa mwezi uliopita ulibarikiwa na salamu zetu za mwezi tulizo kutumia. Mungu akubariki pia kwa nafasi unayoitoa kwa kusoma na hata kwa kutuombea. Nimekuletea salamu za mwezi wa nne, naomba zipokee! Kumbuka tuna salamu zenye kichwa “WEKA BIDII YA KUUSHUGHULIKIA MOYO AU NAFSI […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe sana. Ninakukaribisha sana katika kona hii ya salamu za mwezi. Namshukuru Mungu aliyetupa mwezi huu wa tatu. Hebu tuanze kuziangalia salamu za mwezi. Kumbuka tuna salamu zenye kichwa “WEKA BIDII YA KUUSHUGHULIKIA MOYO AU NAFSI YAKO” Katika salamu zilizopita tuliangalia eneo la SABABU ZINAZO WEZA KUSABABISHA JERAHA NAFSINI. Na tuliiangalia sababu […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe sana. Ninakukaribisha sana katika kona hii ya salamu za mwezi. Huu ni mwezi wa pili, katika mwezi uliopita tumekua na semina nyingi ambazo kwa kweli tumemuona Mungu. Hebu tuanze kuziangalia salamu za mwezi..kumbuka tuna salamu zenye kichwa “WEKA BIDII YA KUUSHUGHULIKIA MOYO AU NAFSI YAKO” Katika salamu zilizopita tuliona maeneo matatu […]
WEKA BIDII YA KUUSHUGHULIKIA MOYO AU NAFSI YAKO Bwana Yesu Kristo asifiwe sana. Ninamshukuru Mungu mno ambaye ametupa kuuona mwaka huu mpya, ni neema. Hizi ni salamu zetu za mwezi huu wa kwanza, na tutaenda nazo kwa kila mwezi kwa salamu mfululizo mpaka pale tutakapo zimaliza. Hebu zipokee na Roho Mtakatifu akufundishe vema; karibu. Sikia, […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe sana. Nina amini umekua na mwezi mzuri na ambao Mungu amekupigania mno ili uone mwezi huu wa mwisho wa mwaka huu wa 2021. Mwaka huu umekua na mambo mengi mno, naamini mpaka tumekua hai na wazima ni Mungu tu katupigania. Nimekuletea salamu za mwezi, na hizi ni salamu za mwisho kwa […]
SALAMU ZA MWEZI WA KUMI NA MOJA 2021 Bwana Yesu Kristo asifiwe sana. Nichukua nafasi hii kukukaribisha ndugu yangu katika eneo hili la salamu za mwezi. Tunamshukuru Mungu muumbaji aliyetupa nafasi hii ya kuuona tena mwezi huu wa kumi na moja. Naamini Mungu amekupigania katika mambo mengi mnoo. Hebu jiachie kwake atakutunza na kukupigania. Hebu […]