Bwana Yesu Kristo asifiwe sana. Pole na kazi zote. Tunamshukuru Mungu kwa kutupa mwezi huu wa kumi na moja. Katika mwezi uliopita tumekuwa na semina nzuri ya Watumishi wa Mungu. Tulikuwa na wachungaji, waalimu, mitume, wainjilisti, pamoja na viongozi wakuu wa kanisa kama maaskofu na wenyeviti. Pia tunamshukuru sana Mungu kwa kuwapitisha Watanzania kwenye jaribu […]
Category Archives: Salamu za Mwezi
Bwana Yesu Kristo asifiwe sana. Pole na kazi zote. Tunamshukuru Mungu kwa kutupa mwezi huu wa kumi na moja. Naamini Mungu amekupigania sana katika mwezi uliopita. Ninakuletea salamu za mwezi, karibu tujifunze. UTANGULIZI Tunaanza kujifunza somo jipya lenye kichwa: JIFUNZE KUTAKA KARAMA AU KUOMBA MUNGU AKUPE KARAMA YA MIUJIZA NA UPONYAJI (SEHEMU YA PILI) Somo […]
BWANA YESU KRISTO ASIFIWE SANAPole na kazi zote, tunamshukuru Mungu ametupa mwezi huu wa kumi.Hebu tuanze kupokea salama za mwezi wa kumi. JIFUNZE KUTAKA KARAMA AU KUOMBA MUNGU AKUPE KARAMA YA UNABII ILI UPATE KUFANIKIWA KIROHO WEWE NA WATU WENGINE (SEHEMU YA KWANZA) JIFUNZE KUOMBA KINABII Angalia mistari hii:“5 Nami nataka ninyi nyote mnene kwa […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe sana, Ninakukaribisha sana katika kona hii ya salamu za mwezi. Katika mwezi uliopita tulikuwa na semina huko Kigoma, Katavi, Rukwa na Sumbawanga. Tunawashukuru sana kwa maombi yenu. Tulikutana na tatizo kwenye lori letu. Wakati tunaenda Kigoma, lilichelewa sana kufika kule. Kule tukafanyia semina kiwanjani kwa kukodi hema, viti na vyombo. Tulikutana […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe, Tunamshukuru sana Mungu kwa kutupa siku nyingine ya mwezi huu wa nane.Mwezi wa saba tumekuwa na semina za Chimala na Ubaruku. Zilikuwa semina nzuri sana. Hebu tuanze kuzitazama salamu za mwezi wa nane: JIFUNZE KUTAKA KARAMA AU KUOMBA MUNGU AKUPE KARAMA YA UNABII ILI UPATE KUFANIKIWA KIROHO WEWE NA WATU WENGINE […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe,Tunamshukuru sana Mungu ametupa siku nyingine ya mwezi huu wa sita. Tumeumaliza mwezi wa tano tukiwa tumekuwa na semina mbili.Katika mwezi wa saba tumekuwa na semina tatu: Itigi, Manyoni, na Mvumi. Tulikuwa na semina nzuri sana katika maeneo hayo. Hebu tuanze kuzitazama salamu za mwezi wa saba. JIFUNZE KUTAKA KARAMA AU KUOMBA […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe!Tunamshukuru sana Mungu ametupa siku nyingine ya mwezi huu wa sita. Tumeumaliza mwezi wa tano, tumekuwa na semina mbili. Tulikuwa na semina ya Wanawake huko Sumbawanga mjini na tukawa na semina jijini Mbeya ndani ya Hema pale Otu. Tulikuwa na semina nzuri sana. Hebu tuanze kuzitazama salamu za mwezi wa sita. Kumbuka […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe, Tunamshukuru sana Mungu ametupa siku nyingine ya mwezi huu wa tano. Tunamshukuru sana Mungu kwa mwezi uliopita tulipokuwa na semina nzuri sana pale Bethania Mbalizi. Tunamshukuru sana Mungu kwa kutupa neema hii ya kutupatia salamu za mwezi huu. Kumbuka tunalo kichwa cha salamu hizi: JIFUNZE KUTAKA KARAMA AU KUOMBA MUNGU AKUPE […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe. Ni siku njema tumepewa na Mungu. Tumepewa tena mwezi huu wa nne. Mwezi uliopita tumekua na semina KKKT Uyole. Ilikua semina nzuri sana. Ebu tuanze kuziangalia tena salamu za mwezi wa nne. Kumbuka tuna somo lenye kichwa… JIFUNZE KUTAKA KARAMA AU KUOMBA MUNGU AKUPE KARAMA YA UNABII ILI UPATE KUFANIKIWA KIROHO […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe, tunamshukuru Mungu ametupa mwezi huu wa tatu. Hebu tuanze kuangalia salamu ya mwezi wa tatu. Kumbuka tunaendelea na salamu zenye kichwa. JIFUNZE KUTAKA KARAMA AU KUOMBA MUNGU AKUPE KARAMA YA UNABII ILI UPATE KUFANIKIWA KIROHO WEWE NA WATU WENGINE (SEHEMU YA KWANZA Hebu tuendelee mbele kidogo. 3: ILI UONE MAONO NA […]
