Category Archives: Salamu za Mwezi

Salamu – Aprili, 2023

Bwana Yesu Kristo asifiwe mpendwa. Namshukuru Mungu sana aliyetupa uzima na afya kiroho na kimwili. Mwezi huu wa tano tunatarajia kuwa na semina za safari ndefu sana. Mwezi wa tano ndipo tunapoanza semina za hema viwanjani. mwezi huu tunaanzia kwanza na semina ya wanawake, na tutakua huko Chimala Tarehe 12-14/5/2023, semina hii tunaiandaa sisi wenyewe […]

Salamu – Machi, 2023

Bwana Yesu Kristo asifiwe mpendwa. Namshukuru Mungu atupaye uzima. Nimekuletea salamu za mwezi wa tatu. Karibu uzipokee. Kumbuka tuna somo lenye kichwa WEKA BIDII YA KUUSHUGHULIKIA MOYO AU NAFSI YAKO Kumbuka tunaendelea kujifunza eneo lile la madhara ya kuihifadhi uchungu moyoni mwako. Hebu tuliangalie jambo lingine. 7: MTU ALIYE NA UCHUNGU MOYONI HAPOKEI JAMBO JIPYA […]

Salamu – Februali, 2023

Bwana Yesu Kristo asifiwe mpendwa.. mimi na familia yangu tunamshukuru Mungu aliyetupa mwezi huu wa pili. Mwezi uliopita tumekuwa na semina Katika kanisa la Moravian Iyunga jijini Mbeya. Tulikuwa na semina nzuri sana. Tulimuona Mungu alituhudumia vizuri sana Hebu tuanze kupokea salamu za mwezi huu wa pili fahamu Tunaendelea na salamu zenye kichwa WEKA BIDII […]

Salamu – Januari, 2023

BwanaYesu Kristo asifiwe mpendwa.. Hongera na mwaka mpya.. Ni jambo la kumshukuru Mungu mnoo kwa kutupatia mwaka huu wa 2023 Naamini Mwaka huu kuna mambo mema Mungu amekuandalia. Jipange naye vizuri tu. Mwezi ulipoita tumekua na semina mbili..tumekuwa na semina Moraviani Nzovwe jijini Mbeya na tumekua na kambi ya maombi.. Kambi hiyo ilikua nzuri sana… […]

Salamu – Novemba, 2022

Bwana Yesu Kristo asifiwe sana.. Watoto wa Mungu ni siku nyingine. Tena nimewaletea salamu za mwezi.. Mwezi ulipopita tumekua na semina nyingi sana.. Tulikua na semina Manyoni,Itigi,Mvumi na Mpwapwa. Semina hizo tulifunga hema yaani tulifanyia nje.. Tumekuwa na semina nzuri sana sana.Nimekuletea salamu za mwezi wa kumi na moja. Kumbuka tunasalamu zenye kichwa WEKA BIDII […]

Salamu – Octoba, 2022

Bwana Yesu Kristo asifiwe sana..Tunamshukuru Mungu atupae uzima na furaha na amani. Nimekuletea salamu za mwezi wa kumi naomba zipokeee Kwanza nianze kuwashukuru kwa maombi yenu na sadaka mnazozito kwa ajili ya kazi ya Mungu aliyotupa. Tumekua na semina nzuri huko Makete Njombe, Tukuyu, na Chunya.. Semina hizo zilikua nzuri sana. Tumemuona Mungu akituhudumia kwa […]

Salamu – Septemba, 2022

BWANA Yesu KRISTO asifiwe sana.. TUNAMSHUKURU Mungu sana ambaye ametupa mwezi Huu wa Tisa. Mwezi  uliopita tumekua na semina Maalumu ya watumishi Jijini MBEYA ilikua semina nzuri sana. Mwakani tunatarajia mwezi tena wa nane kuandaa tena semina ya watumishi..tuombee. Mwezi huu wa tisa tutakua na semina zipatazo tatu..tutakua Makete huko Njombe, Tukuyu mjini Wilaya ya […]