Bwana Yesu Kristo asifiwe sana. Mimi na familia yangu tunawasalimu katika jina la Bwana Yesu Kristo. VIPAO MBELE VYA MAOMBI YAKO WEKA BIDII YA KUOMBEA MASIKIO YAKO. UTANGULIZI Ni imani yetu kuwa Mungu amekupatia mwaka huu mpya kwa lengo maalumu kabisa. Hebu tulia kwake na mwombe akuongoze katika mwaka huu. Tumekuletea salamu za mwezi. Ni […]
Category Archives: Salamu za Mwezi
Bwana Yesu Kristo asifiwe. Ninakukaribisha tena katika eneo hili la salamu za mwezi. ili tupate kujifunza somo hili muhimu. Hizi ni salamu za mwezi wa kumi na moja Kumbuka tunamfululizo wa salamu zenye kichwa. MAMBO MUHIMU UNAYOTAKIWA UYAFANYE ILI UPATE WOKOVU (ENEO LA KUOKOLEWA KATIKA KIPINDI CHA MAJANGA ULIMWENGUNI) JIFUNZE KUTUMIA CHAKULA CHA MAALUMU KATIKA […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe. Ninakukaribisha tena katika eneo hili la salamu za mwezi. ili tupate kujifunza somo hili muhimu. Hizi ni salamu za mwezi wa kumi na moja Kumbuka tunamfululizo wa salamu zenye kichwa. MAMBO MUHIMU UNAYOTAKIWA UYAFANYE ILI UPATE WOKOVU (ENEO LA KUOKOLEWA KATIKA KIPINDI CHA MAJANGA ULIMWENGUNI) JAMBO LA YA KUMI NA MOJA […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe. Ninakukaribisha tena katika eneo hili la salamu za mwezi. ili tupate kujifunza somo hili muhimu. Mungu ametupa mwezi huu wa kumi tunamshukuru sana. Hizi ni salamu za mwezi wa kumi Kumbuka tunamfululizo wa salamu zenye kichwa. MAMBO MUHIMU UNAYOTAKIWA UYAFANYE ILI UPATE WOKOVU (ENEO LA KUOKOLEWA KATIKA KIPINDI CHA MAJANGA ULIMWENGUNI) […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe. Ninakukaribisha tena katika eneo hili la salamu za mwezi. ili tupate kujifunza somo hili muhimu. Mungu ametupa mwezi huu wa tisa nani mwezi tunamshukuru sana. Nimekuletea salamu za mwezi huu wa tisa. Kumbuka tunamfululizo wa salamu zenye kichwa. MAMBO MUHIMU UNAYOTAKIWA UYAFANYE ILI UPATE WOKOVU (ENEO LA KUOKOLEWA KATIKA KIPINDI CHA […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe sana, Mimi na familia yangu ni wazima. Tunamshukuru Mungu. Nimekuletea mfululizo wa salamu za mwezi. Tuna salamu zenye kichwa MAMBO MUHIMU UNAYOTAKIWA UYAFANYE ILI UPATE WOKOVU (ENEO LA KUOKOLEWA KATIKA KIPINDI CHA MAJANGA ULIMWENGUNI) Katika salamu za mwezi uliopita tuliangalia jambo, la sita nalo lilikua JAMBO LA SITA ACHA KUFANYA MAOVU […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe sana, Mimi na familia yangu ni wazima. Tunamshukuru Mungu. Nimekuletea mfululizo wa salamu za mwezi. Tuna salamu zenye kichwa MAMBO MUHIMU UNAYOTAKIWA UYAFANYE ILI UPATE WOKOVU (ENEO LA KUOKOLEWA KATIKA KIPINDI CHA MAJANGA ULIMWENGUNI) Katika salamu za mwezi uliopita tuliangalia jambo, la sita nalo lilikua JAMBO LA SITA ACHA KUFANYA MAOVU […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe sana. Ni imani yangu kuwa Mungu amekupa uzima. Mi mi na familia yangu ni wazima tunamshukuru Mungu. Nimekuletea salama za mwezi wa sita. Naomba zipokeee. Kumbuka tunasomo lenye kichwa MAMBO MUHIMU UNAYOTAKIWA UYAFANYE ILI UPATE WOKOVU (ENEO LA KUOKOLEWA KATIKA KIPINDI CHA MAJANGA ULIMWENGUNI) JAMBO LA SITA ACHA KUFANYA MAOVU ILI […]
Bwana Yesu Kristo asifiwe sana. Ndugu zangu niwape pole kwa na,na taifa na ulimwengu tunavyopitia kutokana na janga la corona. Niwape pole wote mliougua,au kufiwa na ndugu na jamaa kwa ajili ya jambo hili. Tuendelee kumsihi Mungu sana ili atuvushe salama katika janga hili. Kwa kuwa mwezi wa nne serekali ilikataza makusanyiko hata sisi tumesimamisha […]
Ni nawasalimu wapendwa woote katikajina la Bwana Yesu Kristo. Tunamshukuru sana Mungu ambaye ametupa mwezi huuwa nne. Naamini unajua kabisa kuwa kupewa mwezi mwingine ni neema kubwa mno. Hasa katika kipindi hiki ambacho dunia inapitia janga kubwa la tauni ya corona. Na hapa nchini imefika na tayari watu wengi wameambukizwa na wengine wamefariki na serekali […]